Matangazo
Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Zanzibar kupitia kituo cha Kumbukumbu Tuli imeandaa mafunzo maalum ya Usimamizi wa Nyaraka na Kumbukumbu kwa Walimu Wakuu wa Skuli za sekondari na msingi za Mkoa wa Kaskazini Unguja. Lengo la Mafunzo Kujenga uelewa na uwezo kwa walimu katika usimamizi bora wa nyaraka na kumbukumbu katika maeneo yao ya kazi ili kuboresha utunzaji wa taarifa. Mafunzo yatafanyika Wilaya ya Kaskazini A – Ofisi ya Elimu Mkwajuni Wilaya ya Kaskazini B – Skuli ya...