Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Zanzibar leo tarehe 9 Juni 2025 imeadhimisha Siku ya Nyaraka Duniani kwa hafla maalum iliyofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Ocean View Hotel, Kilimani. Mgeni rasmi katika hafla hio alikua ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Ikulu, Ndugu Saleh Juma Mussa, akifuatana na Mkurugenzi wa Taasisi, Ndugu Khatib Suleiman Khatib, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri, Ndugu Sheha...