Habari na Matukio

Juma la Nyaraka 2026: Taasisi ya Nyaraka Yawakumbuka Wastaafu na Kufariji Watoto Yatima

Katika muendelezo utekelezaji wa shughuli za jumaa la nyaraka , Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Zanzibar imefanya ziara maalumu ya kuwatembelea na kuwafariji wastaafu wa Taasisi pamoja na watoto yatima katika Kituo cha Kulelea Mayatima (ZASO Children Home) kilichopo Fuoni Mambosasa, Zanzibar. Ziara hizo zilifanyika kwa wastaafu wanne waliotoa mchango mkubwa katika maendeleo ya taasisi. Wastaafu...

Wadau wakutana katika Jukwaa la Nyaraka 2026 kujadili nafasi ya nyaraka katika kuimarisha uwajibikaji, haki za wananchi na utawala bora.

Katika kuadhimisha Juma la Nyaraka , Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Zanzibar imeandaa Jukwaa la Nyaraka lililowakutanisha wataalamu mbalimbali kujadili nafasi ya nyaraka na kumbukumbu katika kuimarisha uwajibikaji, haki za wananchi na utawala bora. Jukwaa hilo ni miongoni mwa matukio muhimu ya wiki ya maadhimisho, likilenga kuongeza uelewa kuhusu mchango wa nyaraka katika maendeleo ya jamii...

Mkutano na Waandishi wa Habari

 MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAADHIMISHO YA JUMA LA NYARAKA ZANZIBAR 2026 Ndugu Viongozi,Ndugu Waandishi wa Habari,Wageni Waalikwa,Mabibi na Mabwana. Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Napenda kuwakaribisha nyote katika mkutano huu muhimu wenye lengo la kutangaza rasmi maadhimisho ya Juma la Nyaraka Zanzibar kwa mwaka 2026. Awali ya yote, Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu...