Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)

Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kina jukumu la kusimamia matumizi ya teknolojia ya habari na mawasiliano katika shughuli za taasisi ili kuongeza ufanisi wa utendaji na kuboresha utoaji wa huduma.

Kitengo hiki kitakuwa na majukumu yafuatayo: