Divisheni hii inaongozwa na Mkuu wa Divisheni na ina majukumu yafuatayo:
Majukumu
- Kubuni na kusimamia njia za kupata nyaraka za umma za thamani ya kudumu kutoka kwa ofisi za umma na sekta binafsi na kusimamia Hifadhi ya Taifa.
- Kufuatilia na kutathmini kumbukumbu zenye thamani ya kudumu au hadhi ya kipekee (Unique Archive Documents) ili kuhamishiwa / kununuliwa/ kutolewa kama zawadi kwa Taasisi.
- Kutoa usaidizi wa kitaalamu, ushauri na miongozo juu ya kumbukumbu na nyaraka zitakazotambuliwa au kugundulikana katika jamii.
- Kufanya utafiti wa awali (Baseline Survey) katika maeneo yenye taarifa za
- Kufanya tafiti na kutoa ushauri elekezi kwa njia bora za utunzaji na uhifadhi wa taarifa za kihistoria.
- Kufanya na kuratibu maonesho ya kihistoria na mengineo ya
- Kutayarisha, kufuatilia, kupanga na kuelezea hali zinazofaa kwa ajili ya uhifadhi na mashauriano ya uhifadhi wa nyaraka na kutoa miongozo inayofaa, orodha, faharisi na visaidizi vyengine vya kutafuta ili kuwezesha
- Kukagua na kupata nakala za rekodi za umma katika Hifadhi ya Taifa au hifadhi nyengine yeyote ya kumbukumbu.
- Kuhakikisha nyaraka zote zilizopo Jumba la Nyaraka zinatunzwa na kuhifadhiwa kwa usalama.
Divisheni hii inaongozwa na Mkuu wa Divisheni na ina majukumu yafuatayo:
Majukumu
- Kuhuwisha nyaraka zilizoharibika na
- Kufanya kazi za kudahili (binding) wa kumbukumbu na nyaraka
- Kutoa mafunzo yanayohusiana na uhuwishaji wa kumbukumbu na nyaraka
- Kudhibiti matumizi salama ya uhai wa
- Kuimarisha uhifadhi wa kumbukumbu na nyaraka katika teknolojia ya kisasa kwa kuingiza nyaraka katika mfumo ya kidijitali wa kuhifadhi kumbukumbu na nyaraka.
- Kuhifadhi taarifa katika mfumo wa
Divisheni hii inaongozwa na Mkuu wa Divisheni na ina majukumu yafuatayo:
Majukumu
- Kusimamia utoaji na upatikanaji wa huduma bora za utafiti kwa watafiti na wananchi wanaotaka kupatiwa huduma.
- Kusimamia matumizi bora ya nyaraka, machapisho vitabu nyenzo zote za chumba cha utafiti.
- Kuandaa, kupendekeza na kusimamia utekelezaji wa programu za kuimarisha huduma za utafiti;
- Kuandaa na kufanya mapitio ya kanuni na miongozo ya utoaji wa huduma za utafiti;
- Kuandaa faharisi na kuhakikisha kua zipo katika hali
- Kuweka kumbukumbu na takwimu za utafiti kwa usahihi;
- Kutoa ushauri, mafunzo na maelekezo ya kitaalamu kwa watafiti mbali mbali;
- Kusimamia utoaji na upatikanaji wa huduma bora za utafiti kwa njia ya elektroniki;
- Kuandaa, kupendekeza na kusimamia utekelezaji wa programu za kuimarisha huduma za nyaraka mtandao.