Kitengo cha Sheria.

Kitengo cha Sheria kina jukumu la kutoa ushauri wa kisheria katika shughuli zote za Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Zanzibar na kuhakikisha kuwa utekelezaji wa majukumu ya Taasisi unazingatia sheria, kanuni na taratibu za serikali.

Kitengo hiki kitakuwa na majukumu yafuatayo: