Waziri Ofisi ya Rais – Ikulu, Dk. Saada Mkuya Salum akiambatana na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Ikulu, Ndugu Saleh Juma Musa amefanya ziara katika Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Zanzibar. Katika ziara hiyo, Waziri alitembelea mradi wa ujenzi wa jengo jipya la Taasisi unaotekelezwa na Kampuni ya Zeccon, Mkandarasi Ali Mbarouk aliwasilisha taarifa ya maendeleo ya ujenzi. ambapo Waziri alisisitiza...